Friday, February 23, 2018

KITABU CHA UTASHI WA KIHISIA

NUNUA NAKALA YAKO SASA

Hiki ni kitabu cha kinafsi ambacho kimejikita katika kukuwezesha kutambua kwa upana wake dhana ya Hisia na namna unavoweza kuratibu hisia zako vyema

Pia kinatoa njia halisi za kiutendaji za kuiboresha nafsi yako katika nyanja ya kihisia ili uweze kuwa na mguso chanya katika jamii ya nafsi zinazokuzunguka

Pia kitabu hiki kinakuwezesha kutambua utu wako, vipawa vyako vya kinafsi na namna unavoweza kutumia hisia kama msukumo wa kuendesha vipawa vyako katika kuleta tija

Katika kitabu hiki kuna majibu yenye upana ya namna ya kujibu maswali ya kimahusiano na hata kutambua hisia za watu wengine ili uweze kuishi nao vizuri.

Kitabu hiki kina uhalisia na kinagusa kila nyanja na kila aina ya utu bila kusimama katika upande wa dini.

Ukisoma kitabu hiki kitakusaidia sana kinafsi na kihisia katika kukujenga kinafsi kuwa mtu bora na hakifungamani na mtazamo wa kwamba ni hadi uwe mhanga wa matatizo ya kihisia ndio unatakiwa ukisome.

Wasiliana nami katika account zangu za mitandao ya kijamii au email
nizzo43@gmail.com